Pages

Wednesday, May 14, 2014

RUSHWA YAMKWAMISHA DAVIDO KUSAFIRI




Mwanamuziki wa Nigeria wa David Adeleke Davido amekesilishwa natabia ya rushwa iliyopitilizwa kwa wafanyakazi wa viwanja vya ndege chini humo .


Davido kutokana na mazingira ya rushwa yaliyopitilizwa alijikuta akiikosa ndege iliyokuwa imupeleke uingereza kwaajili ya onesho .

Maofisa wa uhamiaji walimusimamisha wakimushinikiza kutoa rushwa wakijidai kuwa hawamtambui kama ni raia wan nchi hiyo

Msanii huyo aligoma na kisha waliishia kugombana na walimnyima kumruhusu apite na kuondoka.
Kwa muda mrefu wananchi nchini humo wamekuwa wakilalamikia mazingira ya rushwa yanayofanywa na na maofisa wa uhamiaji ambapo huwaomba fedha au kuwatishia kuwauzia kusafiri.

No comments:

Post a Comment